Thursday, December 13, 2012

KOFFIE AWASILI NCHINI...

 Mwanamziki mashuhuri na maarufu Afrika,Koffie Olomide(pichani katikati) awasili Tanzania jana usiku kwa ajili ya kupga show iliyo andaliwa na PrimeTime Promotion itakayofanyika leaderz Dar es salaam na baadae kumalizia Mwanza.picha na Millard Ayo.

No comments:

Post a Comment